Finally:Shule ya Kakamega Yatoa majina ya wanafunzi walioaga dunia katika mkasa.

Shule ya msingi ya kakamega hatimaye imetoa majina ya wanafunzi 14 walioafariki katika tukio la mkanyagano shuleni humo siku ya jumatatu . Mmoja wa waathiriwa hao  mwanafunzi wa gredi ya nne  Naila Kiverenge – anazikwa  jumatano alasiri . Matayarisho ya maazishi yaw engine yanaendelea  baada ya kuundwa kwa kundi  lililoundwa na gavana wa kakamega Wycliffe  Oparanya .

Waathiriwa wengine wa  13 wa kisa hicho  wanatarajiwa kuzikwa wiki ijayo. Serikali kuu na ya kaunti zimeahidi kuzisaidia familia za waathiriwa . huduma za ushauri zinatolewa kwa familia hizo na wanafunzi walionusurika mkasa huo . shule hiyo hata hivyo imefungwa baada ya tukio hilo ambalo limeishangaza nchi . Orodha kamili ya waathiriwa wote ambao mmili yao ilitambuliwa na jamaa zao katika  Hifadhi ya maiti ya hospitali ya rufaa ya Kakamega ni hii

  1. Antonnet Iramwenya – 5V

    2. Prudence Eliza – 5V

    3. Catherine Aloo – 5W

    4. Naila Kiverenge – 4G

    5. Prince Vermaline – 4G

    6. Nichole Achola – 5P

    7. Venessa Adesa – 5P

    8. Fidel Kumbetie – 5P

    9. Simon Waweru – 4G

    10. Samuel Simekha – 5V

    11. Lavenda Akasa – 5P

    12. June Nakhumicha – 4G

    13. Joseph Musami – 5B

    14. Bertha Munywele – 5Y