Waathiriwa wengine wa 13 wa kisa hicho wanatarajiwa kuzikwa wiki ijayo. Serikali kuu na ya kaunti zimeahidi kuzisaidia familia za waathiriwa . huduma za ushauri zinatolewa kwa familia hizo na wanafunzi walionusurika mkasa huo . shule hiyo hata hivyo imefungwa baada ya tukio hilo ambalo limeishangaza nchi . Orodha kamili ya waathiriwa wote ambao mmili yao ilitambuliwa na jamaa zao katika Hifadhi ya maiti ya hospitali ya rufaa ya Kakamega ni hii
- Antonnet Iramwenya – 5V
2. Prudence Eliza – 5V
3. Catherine Aloo – 5W
4. Naila Kiverenge – 4G
5. Prince Vermaline – 4G
6. Nichole Achola – 5P
7. Venessa Adesa – 5P
8. Fidel Kumbetie – 5P
9. Simon Waweru – 4G
10. Samuel Simekha – 5V
11. Lavenda Akasa – 5P
12. June Nakhumicha – 4G
13. Joseph Musami – 5B
14. Bertha Munywele – 5Y