Mwanamke mmoja huko Ghana amezua gumzo mitandaoni baada ya kuamua kusherehekea birthday ya mtoto wake mvulana kwa kupiga picha naye ,akiwa uchi wa mnyama bila nguo .
Hatua hiyo ya mwanamke huyo aliyejitambulisha katika instagram kama Akuapem Poloo imeawaanya wanaotumia mitandao kutoa maoni mbali mbali kuhusu hatua hiyo huku wengi wakimshtumu wakisema sio sawa kufanya hivyo .
Poloo katika ujumbe wake wanasema alimzaa mtoto wake akiwa uchi na hivyo basi hamna tatizo mtoto huyo akimuona akiwa uchi pia lakini watu wengi walionekana kutofautiana naye .