Aghalabu watu watatu wameaga dunia kutokana na ajali mbaya ya bara barani

EYsfgTIXgAAa8dU
EYsfgTIXgAAa8dU
Watu watatu wanaripotiwa kuaga dunia na wengine kuuguza majeraha baada ya matatu waliyokuwa wakisafiria kugongana ana kwa ana na Lori mchana wa leo endeo la Londiani.

Maafisa wa polisi wamefika eneo la tukio huku majeruhi wakikimbizwa katika hospital ya Nairobi.

Taarifa hizi zinajiri saa chache tu baada ya  Makanga Shisiali aliyekuwa mchezaji wa timu ya taifa ya raga kuaga dunia kupitia ajali mbaya kwenye bara bara ya Mombasa usiku wa kuamkia hii leo.