Wawili hao maajuzi wamewasha mitandao kwa tabasamu walipodhihirisha kwamba wanaeza kuvunja mipaka yote ili tu kutuchekesha .
Ni dhahiri kwamba ustadi wao katika wanachofanya ni jambo ambalo haliwatoi kijasho. Walimua kufanya mchezo wa kuthubutiana, matokeo yake yalimuacha njugush akiwa mzee kipara na Cele hakuweza kufunga kicheko chake .
Njugush alipoteza bet kwa mkewe na akalazimika kunyoa kichwa chake ili kusalia na kipara. Picha hiyo akiwa ‘mzee kipara’ iliwavunja wengi mbavu kwa ajili ya muonekano wake, wengine hata walimpa jina -“Kibaki mdogo”. Sema kukaliwa chapati, ama ni kazi?
Haya hapa baadhi ya maoni yaliyotolewa
dansonko @celestinendinda wewe ndio yule msee!!!!
flaqo411 𝘈𝘯𝘨𝘢𝘮𝘪𝘢 𝘵𝘶
confreyalianji Kibaki mdogo Timo uko Na ufala kwenda huko
stevefbai bibi alienda kujifanya dufanda
je_mappelle_steven unakaa landlord kihara
johniewelding Shida ni aty anakaa ni kama angefanya more … Ogopa this species in skirts
jane.gedion.5 Imagine kumbe wewe na obado mnaweza elewana poa