Agogo alichezea taifa la ghana mara 27 kwenye mechi za kimataifa huku akicheka na wavu mara 11 maishani mwake. Alianzia soka yake na klabu cha Shefield United kabla ya kwenda nchini Marekani. Baadaye alirejea nchini Uingereza na kuchezea Brentford pamoja na Nottigham Forest.
Agogo alitetemesha ulimwengu wa soka akichezea klabu cha Bristol City. Vilabu alivyochezea vimesikitikia kifo chake na kutumia familia yake risala za rambi rambi.
Amekuwa akiugua maradhi ya kiharusi tangia mwaka wa 2015.
Sheffield Wednesday are saddened to learn of the passing of our former player Junior Agogo.
Our thoughts are with Junior's family and friends at this very difficult time. RIP
— Sheffield Wednesday (@swfc)
Rest in peace, Junior ❤️
are saddened to learn that former striker Junior Agogo has passed away.
The thoughts of everyone at the club are with Junior’s family and friends at this sad time.
— Nottingham Forest FC (@NFFC)