In Summary
•Msanii huyo ambaye aliachiwa kutoka gerezani hivi majuzi amefichua nchi ambazo anapanga kuzuru kufuatia mialiko ya mashabiki.
•Kenya, Tanzania, Nigeria na Afrika Kusini ni miongoni mwa mataifa ambako Vybz Kartel amealikwa kutumbuiza.
•Msanii huyo ambaye aliachiwa kutoka gerezani hivi majuzi amefichua nchi ambazo anapanga kuzuru kufuatia mialiko ya mashabiki.
•Kenya, Tanzania, Nigeria na Afrika Kusini ni miongoni mwa mataifa ambako Vybz Kartel amealikwa kutumbuiza.