In Summary

•Msanii huyo ambaye aliachiwa kutoka gerezani hivi majuzi amefichua nchi ambazo anapanga kuzuru kufuatia mialiko ya mashabiki.

•Kenya, Tanzania, Nigeria na Afrika Kusini ni miongoni mwa mataifa ambako Vybz Kartel amealikwa kutumbuiza.

Mataifa ya Afrika ambako Vybz Kartel anapanga kuzuru.
Image: WILLIAM WANYOIKE
View Comments