In Summary

• Baada ya hoja hiyo kufikishwa bungeni na kupigiwa kura na angalau wabunge 233, spika anapaswa kumwandikia mwenzake wa seneti ndani ya siku 2.

• Baadae seneti inafanya kazi kama mahakama huku bunge la kitaifa likisimama kama mwendesha mashtaka katika kesi hiyo.

MUONGOZO WA KUMBANDUA NAIBU A RAIS MAMLAKANI.
Image: WILLIAM WANYOIKE
View Comments