27 September 2024 1 Min Read
Watu maarufu ambao Mbunge Peter Salasya amechokozana nao mitandaoni
Katika kipindi cha wiki moja iliyopita, Mbunge huyo amekuwa akitupiana maneno mtandaoni na Huddah Monroe na Andrew Kibe.
In Summary
• Kukosana na Kibe kunakuja siku chache baada ya kumuomba msamaha akisema Kibe ni kama ndugu yake mkubwa.