Ana Tanga Tanga kila mahali? Ruto responds to Uhuru's comments on loitering

williamrutoatkaptambwanakuru
williamrutoatkaptambwanakuru
The trending word of the week has been tanga tanga, after President Uhuru recently remarked that his deputy 'loiters'.

Deputy President William Ruto on Saturday told a gathering in Meru that President Kenyatta was aware of his movements.

“Lakini Mheshimiwa Rais kwa ile ruhusa na amri umenipatia ambayo ulisema juzi mimi nafanya kila wikendi huko mashinani, kitongojini,Kijiini hata na huko kwenya vichororo nataka nikupatie report. Vile ulinituma inganwaje my friend Ndaragua hakusema, ile barabara ulitunituma kuanzisha pale Mathathari, Siakago, Ugweri hiyo barabara imeisha”

Two days ago, Uhur shocked the nation after talking about Ruto saying;

"Hii Kijana anaitwa Ruto unajua kila weekend anatangatanga kila pahali atakuwa anapitia hizi machoro choro mkiona kuna kitu inaenda kona kona mumwambie,"

Uhuru said.