Anaweza ama hawezi? Kutana na Malkia wa WCB Zuchu, saunti mpya ya Bongo fleva

Lebo ya wasafi  ina kipusa mpya, Zuchu  ambaye amekuja kwa kasi na nguvu zote. Zuchu amejiunga na lebo hiyo ya msanii Diamond Platinumz na  ni  binti yake mwanamuziki maarufu wa taarab kutoka Bongo Khadija Kopa.

Kupitia kumbi zao za mitandao ya kijamii  WCB wamemtambulisha Zuchu kwa mashabiki wao kwa kuandika ;

WE INTRODUCE TO YOU THE NEW QUEEN OF BONGO FLEVA||

ZUCHU Ni mtoto wa Malkia Mwenye Sauti ya Kasuku @khadijakopa.

Amepikwa akapikika

Sasa Ni Muda wa Dunia Kufurahia kipaji Hiki Kipya kutoka Tanzania.

Ladies & The Gentleman Rasmi Tunamtambulisha Kwenu Msanii Mpya @officialZuchu Katika Label Yetu Ya @wcb_wasafi .

Tafadhali kwa Heshima na Taazima Tunawaomba Watanzania Mumpokee na Kusheherekea Kipaji chake. .

#TheNewQueenOfBongoFleva #KaribuZuchu #WelcomeZuchu

#Wcb_wasafi

#WCB4LIFE

Cc @boomplaymusic_tz

Mtazame Malkia huyu anayeleta sauti freshi katika bongo fleva

MHARIRI: DAVIS OJIAMBO