Vera ni mchoraji, sanaa ambayo anasema imempa biashara na pia kumpa fursa ya kujitengezea pesa .
Kando na biashara zake nyingine yeye hutumia muda wake wa ziada kutengeza michoro hiyo –baada ya kulipwa na anaweza kuchora chochote anachotaka mteja wake .
Huku kila mtu akitakiwa kusalia nyumbani Vera sasa anasema amepata muda mwingi wa kuweza kufanya michoro yake ..
Akizungumza na Magzter, Vera ameeleza jinsi anavyopenda sanaa
“I GREW UP KNOWING THAT I LOVE ART. FROM THE FIRST
TIME I HELD A PENCIL, I STARTED DRAWING. I LOVE
PAINTINGS (OIL AND CANVAS) AND DO A LOT OF STILL LIFE,
IMAGINATION, LANDSCAPING AND ABSTRACT ART. I HAVE
NUMEROUS TROPHIES COURTESY OF MY HIGH SCHOOL,
STAR OF THE SEA, IN MOMBASA.”
Vera amekuwa akitengeza pesa kupitia sanaa hiyo na wakati mmoja alifichua kwamba aliuza mchoro wake kwa bwenyenye mmoja wa Nigeria kwa mamilioni ya pesa