'Asante baba for the top up,'Zari amshukuru Diamond kwa kumnunulia gari

Screenshot-from-2020-07-08-21_46_35
Screenshot-from-2020-07-08-21_46_35
Je, Diamond na Zari wamerudiana? Wawili hao wamekuwwa katika mahusiano mema hivi maajuzi  baada ya Diamond na Zari kukosana na msanii huyo kukataa kuwasaidia watoto wake kwa muda wa miaka miwili.

Diamond alianza kuzungumza na wanawe na kisha kuwasaidia, baaada ya zari kupitia kwenye mitandao ya kijamii kusema kuwa hajakuwa akiwasaidia wanawe.

"TWO YEARS DOWN THE LINE DIAMOND REALISED WHAT HIS MISTAKE WAS WHERE HIS PROBLEM WAS AND HE SAID, HE IS NOT GONNA LET THIS CONTINUE AND HE DECIDED TO BE IN HIS KIDS’ LIFE. SO HE STEPPED UP, WHY CAN’T I GIVE CREDIT FOR THAT?" Aliandika Zari.

Siku ya kusherehekea kina baba duniani, Zari aliposti picha huku akimuonyesha Diamond mapenzi tele, awali kupitia kwenye mitandao ya kijamii Zari aliposti picha ambayo iliwaacha wengi wakizungumza na kuulizana maswali yasiyo na majibu.

Mama huyo wa watoto watano alimshukuru aliyekuwa mumewe huku wengi wakisema Diamond alimsaidia kununua gari hilo.

"ASANTE BABA T FOR THE TOP-UP." Aliandika Zari.

Je, Diamond ndiye alimtumia pesa kununua gari hilo au mambo vipi?