AUDIO: Kasisi Azuiliwa Na Polisi Baada Ya Kunajisi Na Kupachika Wanafunzi Wawili Mimba

kasisi
kasisi

Kasisi mmoja anazuiliwa katika kituo cha polisi cha Voi kwa tuhuma za kuwanajinsi na kuwatunga mimba wanafunzi wawili wa shule moja ya upili wenye umri wa miaka 16 huko Voi kaunti ya Taita Taveta.

 Kwa mujibu wa kamanda wa polisi kaunti ya Taita Taveta, kasisi huyo kutoka Wongonyi eneo la Tausa anadaiwa kuwanajisi wanafunzi hao tangu mwaka jana.

Polisi wameomba mahakama siku tatu kufanya uchunguzi kabla mshukiwa kujibu mashtaka.

Skiza kanda ifuatayo

&feature=youtu.be