Author: Tina Mwambonu
Bio:
Latests Posts By Tina Mwambonu

Posted on: October 19, 2019

Posted on: October 14, 2019
Jinisi ya kuziosha na kuzitunza rasta zako.
Rasta ni mtindo maarufu kwa watu wengi siku hizi. Wengi huweka rasta kwa sababu mbali mbali kama vile sababu za kidini huku wengine wakiweka zile ambazo sizakudumu akiaminika zinasaidia kukuza nywele. Mara tu...
Posted on: October 7, 2019
Mastaa wa mziki waliofariki kabla ya nyota zao kung’aa zaidi
Kenya imekuwa na wanamziki wengi ambao walitoa upya mziki wa nchi hii lakini kabla ya hata nyota zao kung’aa zaidi kifo kikawachukua. Hata hivyo nyimbo za baadhi yao zingali zinavuma...
Posted on: August 13, 2019
Kutokomaa kulinigharimu ndoa yangu, asema Kanyari.
Mhubiri tata Victor Knyar8i hatimaye ameelize kile kilichosababisha ndoa yake na mwanamziki maarufu Betty Bayo kuvunjika. Akizungumza na gazeti la The Star siku ya Jumamosi, Kanyari alisema kuwa walioana wakiwa...
Posted on: July 13, 2019
Picha za harusi ya Waiguru na mpenziwe Waiganjo
Gavana wa Kirinyaga Ann Waiguru anatarajiwa kufunga ndoa hii leo na mpenzi wake wakili Kimotho Waiganjo katika sherehe inayoendelea hivi sasa. Sherehe ya harusi yao ambayo itakuwa ya kitamaduni itafanyika...
Posted on: July 13, 2019
EACC kuwajulisha washukiwa kabla ya kuchunguza akaunti zao za benki
Siku ya Jumatano jopo la majaji watatu wa mahakama ya rufaa liliamua kwamba tume ya EACC inapaswa kuwajulisha washukiwa kabla ya kutafuta agizo la mahakama kuruhusiwa kuchunguza akaunti zao za...
Posted on: July 3, 2019
Misa ya wafu ya Collymore kufanyaki kesho
Ibada ya ukumbusho ya Bob Collymore itafanyika hapo kesho katika kanisa la All Saints Cathedral. Duka zote za Safaricom kote nchini zitasalia kufungwa kati ya saa nne unusu asubuhi hadi saa...
Posted on: June 21, 2019
Daktari kufika mahakamani akitaka ukeketaji wa wasichana kuhalalishwa.
Kiongozi wa jamii ya Maasai ambaye pia ni daktari atatoa ushahidi katika kesi inayotaka kubadilishwa kwa sheria dhidi ya ukeketaji wa wasichana. Daktari Tatu Kamau anasema kuwa wanawake wote haswa wale waliotimu umri...
Posted on: June 19, 2019
Ubalozi wa Amerika sasa unakubali noti mpya unapolipia visa
Ubalozi wa Amerika hapa jijini Nairobi umesema sasa unakubali noti mpya unapolipia visa pamoja na huduma zozote katika ubalozi huo baada ya kufanya mkutano na benki kuu ya Kenya. Ubalozi huo...
Posted on: June 18, 2019