Wasanii tajika nchini Uganda pamoja na mashabiki wa muziki nchini humo wamefurika mitandao ya kijamii kumpa kongole mwanamuziki Juliana Kanyomozi ambaye amejifungua mtoto wa kiume siku ya Jumatano.
Juliana mwenyewe alitumia mitandao ya kijamii kufichua habari hizo njema kwa ulimwengu na pia kusema jina la mtoto wake-Taj
https://twitter.com/JKanyomozi/status/1260659106068619266
Mwanamuziki maarufu nchini humo Jose chameleone aliwaongoza wasanii wengine nchini UG kumhongera Juliana kwa kuandika katika twitter ;
https://twitter.com/JChameleone/status/1260687641156206592
Msanii Radio & Weasel pia alindika ujumbe wa kumpa hongera Juliana kwa kuandika ;
https://twitter.com/RadioandWeasel/status/1260702320389697537
msanii Ykee Benda aliandika ;
https://twitter.com/YkeeBenda/status/1260670631143788545