Maisha ya kufeki?

Kumbe! Diamond alikodisha BMW ili Kumpa Esma zawadi feki wakati wa harusi yake

Petitman apata fursa ya kumpiga Diamond kijembe

Muhtasari

 

  •  Esma tayari ameachana na msizwa baada ya ndoa yao kudumu miezi mitatu 
  • Inadaiwa gari alilompa Diamond kama zawadi siku ya harusi lilikuwa la kukodi

 

 

Staa  wa Bongo Diamond Platinumz  amefichuliwa kwa tabia za kufeki baadhi ya vitu katikia maisha yake baada ya kuibuka kwamba alikodisha gari la BMW  ili kumpa zawadi feki dadake Esama wakati wa harsi yake na Msizwa  ambaye hadi sasa ametengana na mume huyo wake

Esma  alikuwa akiolewa kama mke wa  tatu wa msizwa na kakake alimpa  BMW ya rangi nyeupe kama zawadi yake .

 Wakati wa hotuba yake harusini Diamond alimchongea sana aliyekuwa mpenzi wa dadake  Petitma kwa kumuita kuwa mtu maskini

 Petitman naye sasa amepata fursa ya kumtupia Diamond vijembe akisema ;

KIJANA MASKINI WA KWANZA KUVAA SUTI NA KUTABASAMU.

 Alionekana kufurahishwa na hatua ya Esma kuachana na mume wake  akisema   halalamiki kuwa na kidogo alicho nacho kwani anaishi kwa furaha .

 Pia alifichua ujanja wa Diamond  kuhusu zawadi feki aliompa dadake wakati wa harusi  huku shabiki mmoja akisema  ;

@MARRYCHARAMBA ….JAMAN MKUJE UKU KWA KAKA PETY KUMENOGA MALIPO NI HAPA HAPA DUNIAN  

Petitman aliandika posti hii