- Mchekeshaji Njoro ampoteza baba yake baada ya kuugua saratani kwa muda
Mchekeshaji wa kipindi cha Churchill Njoro yuko katika maombolezi baada ya kumpotea baba yake mzazi.
Baba Njoro alikuwa anauua saratani kwa muda ambayo ilisababisha kifo chake.
Kupitia kwenye mitandao yake ya kijamii aliwaharifu mashabiki wake kuhusu kifo chakee baba yake kupitia kwa ujumbe huu.
"Nimevunjika, nimevunjika kabisa, ata nitaanzia wapi ama nitafanya nini, baba kwa nini saa hizi?
lala salama baba.R.I.P baba Njoro mpaka tutakapokutana tena, lala salama nilikupeenda na nitaendelea kukupenda uangaze njiani baba πππππ." Aliandika Njoro.
Hizi hapa baadhi za jumbe za risala za rambirambi kutoka kwa marafiki na mashabiki;
deejaykalonje: Pole brother take heart
babydanzy: My condolences to the family and friends,ni njia yetu sote mwenyezi mungu awape nguvu na subra insha Allah πππ’π’
thecremedelacreme :Peace be unto you and yours my brother π
awititrhk: My condolences to you and your family dear..my prayers and thoughts are with you
phil_director: Pole sana broπ Time will numb the pain you are feeling right now
tinakaggia: Oh no. Oh noπππ. Iβm so sorry my love. OMG. My deepest condolences sweetheart. May God give you strength. Iβm praying for you and the family
joabmwaura: TAKE HEART BRo
mwalimchurchill: So so sad..poleni sana..I have been there and I know what you are going through..my deepest condolences
massawejapanni; It is well Njoro. Condolences
terencecreative: Pole saana bro, it is well ππ
chris001ke: Pole Sana Bro, God will give you and family strength
teacherwanjiku; Pole sana @njorothecomedian