Baba Lao azidi kutesa

Zari anaona gere? Tazama jibu la Zari alipoambiwa kwamba Tanasha anamrudia Diamond

‘ Navyofahamu mimi ,niliachana naye miaka mitatu iliyopita

Muhtasari

 

  • Tanasha  na Diamond  walikutana   Tanzania baada ya Donna kumpeleka mtoto kumuona baba yake .
  •  Novemba mwaka jana ilikuwa zamu ya Zari na Diamond kukutana wakati alipowaleta watoto kumuona baba yao  na akaeleza wazi kwamba hakuwa na mpango wa kumrudia Diamond bali walikuwa wkaitekeleza jukumu lao la kuwalea wanao kwa pamoja .

 

Zar,Diamond na Tanasha

Ni wazi kwamba msanii wa Tanzania Diamond ana uwezo wa kipekee wa kutuliza hali yenye taharuki kuwa tulivu na hata kuitumia vizuri kuendelea na maisha yake . Baada ya kufaulu kumuona mwanawe  Naseeb Junior waliyezaa na Tanasha Donna , wafuasi wao wengi walikuwa wakipiga miluzi wakijua sasa imefika   hatua nzuri katika maisha ya nyota huyo wa muziki kurudiana na mmoja wa wapenzi wake .

Tanasha
Tanasha Donna Tanasha

Tanasha  na Diamond  walikutana   Tanzania baada ya Donna kumpeleka mtoto kumuona baba yake . shabiki mmoja kwa udaku wake aliamua kumtoa uchungu Zari kwamba kumueleza kwamba  Daiamond  na Tanasha walikuwa wakirudiana

  Boss lady wetu ,Diamond amerudiana na msichana wetu wa kikenya

 

Zari hakusita kujibu na aliandika

 ‘ Navyofahamu mimi ,niliachana naye miaka mitatu iliyopita

 Shabiki mwingine alimuonya dhidi ya kufanya mazoea na  Juma Lokole ambaye ni mshirika wa karibu wa Diamond kwa sababu ni mnafiki .

 ‘JUMA ANAKUCHOKOZA MAMA TEE NEXT TIME UKIJA USIWE NA UKARIBU NAE,’

 Zari alijibu ushauri huo kwa kusema

 ‘ Achana na huyo kijakazi ….NJAA MBAYA,’ SHE

ASIPO LAMBA TRAKOO LA BOSS ATAKULA WAPI? NJAA MBAYA.

 

 Novemba mwaka jana ilikuwa zamu ya Zari na Diamond kukutana wakati alipowaleta watoto kumuona baba yao  na akaeleza wazi kwamba hakuwa na mpango wa kumrudia Diamond bali walikuwa wkaitekeleza jukumu lao la kuwalea wanao kwa pamoja .

 

Zari,Diamond na Tanasha