'Kafyu apana tambua mtoto wa tajiri,'Akothee amwambiwa mwanawe Rue Baby

Muhtasari
  • Akothee amuonya mwanawe Rue Baby baada ya madai alikamatwa siku ya kushehereka siku yake ya kuzaliwa
rue baby
rue baby

Kila tunapopatwa na shida wengi huwapigia wazazi wao simu na kuja kuwatoa kwenye shida ambayo imewakumba.

Lakini kwa mwanawe msanii Akothee hakuweza kufanya hayo, huku akisheherekea siku yake ya kuzaliwa, madai yalienea kwamba Rue Baby amekamatwa.

Akothee hakuyafahamu hayo bali aliona kwenye blogu kwamba mwanawe alikuwa amekamatwa.

 

Wakati mwingine huwa tunajipata upande mbaya na sheria huku hatua zikichukuliwa.

Akothee kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram alimwambia Rue kwamba sheria za kafyu hazijui kama mtu ni tajiri wala mtoto wa tajiri.

Pia alitaka kujua nani alimtoa korokoroni baada ya kushikwa kwa maana hakuwa anayafahamu hayo.

"πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ jambazi umelala ndani @ rue.baby na sijui πŸ˜‚πŸ˜‚ nani kakulipia dhamana? Je walimkamata mwanamume wako ama yeye ni toto yajuu ya kafyu, amri ya kutotoka nje hapana mtoto Bosi Mama watakuweka ndani cheza. CHINI πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚," Aliandika Akothee.

Hizi hapa baadhi ya hisia za mashabiki baada ya usemi wake Akothee;

mcatricky: 🀣🀣🀣🀣🀣Wueh @akotheekenya relaaax ! Hawa mablogger ni kama pia wao walikua ndani hio sikuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

rue.baby: Bitch calm your ass down. Am safe oo.πŸ˜‚πŸ˜‚cheka tu

 

chebet_.moh: Alafu ati eldest daughter?? Hawa watu wanaandika hawafanyi research yakutoshaπŸ˜‚πŸ˜‚ but rue pole

princess_wa_daddy007: Alikublock alitupea story pale kwa ig storiesπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚..

marycute_maina:Wooiye wanashika ka african beauty ka madam boss kwanini?iyo melanin haifai kuguzishwa simit yawa❀️❀️❀️