- Muigizaji Omosh awashauri mashabiki wawe wapole kama wataka baraka kutoka kwa mwenyezi Mungu
Muigizaji Joseph Kinuthia, almaarufu Omosh amewasha mitandao ya kijamii tena baada ya kuwashauri mashabiki wake wawe wapole kama wanataka kubarikiwa na Mungu.
Omosh amekuwa akivuma sana kwenye mitandao ya kijamii baada ya kufichua yale amekuwa akipitia.
Kuwa Mpole Kama Wataka Kubarikiwa na, huu ujumbe ni wangu na wako," Aliandika Omosh.
Ni ujumbe ambao mashabiki wengi wamechukua ushauri wake na wengine pia wakamkejeli.
Hizi hapa hisia za mashabiki;
ndovu_fathy: Bless up more and more
mrjoekenya: Asante. Sana bazuu. Blessings
ownesnzeki: Truly kua mpole na utainuliwađź‘Ź blessed Sunday all
leilaciku: KWELI Amina
be.ast3737: Amen Amen .....so encouraging
rozzy.shii: I love the song, @omoshkizangila it's a big testimony to you and others and at the same time, it's a big inspiration to others. Much blessings.🙏 Patience pays