- Aliyekuwa muigizaji wa Kipindi cha Machachari Wanjiku MBuru maarufu Mama Baha anaomboleza kifo cha mama yake
- Mama Baha alimpoteza mama yake siku ya Ijumaa 16,Aprili,2021
Aliyekuwa muigizaji wa Kipindi cha Machachari Wanjiku MBuru maarufu Mama Baha anaomboleza kifo cha mama yake.
Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram alipakia picha ya mama yake huku akimsifia na kutangaza habari za kifo chake.
Mama Baha alimpoteza mama yake siku ya Ijumaa 16,Aprili,2021.
Baada ya kupakia picha yake aliandiika ujumbe ufuatao;
"Malkia amepumzika, mama wa wengi, mpendwa wangu,dunia yangu Sallyjoe," Aliandika Wanjiku.
Hizi hapa baadhi ya jumbe za rambirambi za mashabiki;
the._real_boss: Sorry for the loss auntie Shiku😢may her soul RIP.
samsammy_26: Poleni. Take heart in prayers with you during these difficult times
muruamziki: Deepest condolences. Pole sana
kelly_murula: Pole pole @therealwanjikumburu Wanjiku God is in control
msnovah: Pole may she rest in peace❤️
kamaukim: condolences to you and the family...may she R.I.P
rozzie.mutiku: R.i.p mama. Dance with the angels