Kuwa katika tasnia ya burudani sio kazi rahisi kwani wengi wa wasanii hupokea kejeli nyingi kutoka kwa mashabiki kwa kle ambacho wanafanya.
Kuwa katika tasnia ya burudani sio kazi rahisi kwani wengi wa wasanii hupokea kejeli nyingi kutoka kwa mashabiki kwa kle ambacho wanafanya.
Kuna wale walishindwa na safari ikiwa katikati na kuacha kazi ya usanii na kufanya mambo mengine kama vile kufungua biashara.
Baada ya kukejeliwa na mashabiki kuna baadhi ya mashabiki ambao walikata tamaa na kukaa hivyo bila ya kutimiza ndoto zao.
Pia kuna wale wamekabiliana na kejeli na sifa moja kwa moja huku wakifaulu kwenye tasnia hiyo.
Bali na kuwa na wasanii mbali mbali na wengi Afrika Mashariki kuna baadhi ya wale wanasheherekewa sana na mashabiki na wanafahamika kwa sana.
Hawa hapa baadhi ya wasanii ambao wanasheherekewa na wamesheherekewa sana Afrika Mashariki.
1.Koffi Olomide
Ni msani wa nyimbo za Rhumba ambaye anapendwa sana kwa aili ya ubinifu wake katika nyimbo zake.
Koffi amefanya collabo tofauti na wasanii tofauti, huku collabo yake ya awali na Diamond ikipendwa sana na mashabiki.
2.Diamond Platnumz
Ni msanii kutoka Tanzania ambaye ni staa wa bongo, Simba alifahamika sana kwa kupitia kwa nyimbo zake tofauti.
Amekuwa akifanya collabo na wasanii tofauti kutoka nchi tofauti, na hata kukuza vipaji vya wasanii wenzake.
3.Nadia Mukami
Ni msanii mwenye umri wa chini lakini licha ya hayo yote Nadia amekuwa akitia bidii kila kuchao huku akipendwa na mashabiki wake.
4.Nameless
Ni msanii ambaye amekuwa katika tasnia ya burudani kwa zaidi ya miaka 5, amekuwa akiwaburudisha mashabiki wake kila siku kupitia kwa nyimbo zake.
5.Jose Chameleone
Kwa sauti yake ya kipekee nyimbo zake zimependwa sana Afrika Mashariki, huku akisheherekewa na mashabiki kila kuchao.
Miongoni mwa wasanii wengine ambao ni pamoja na Sauti sol,Alikiba,kansoul,Mejja,Harmonize,Darasa,Otile Brown miongoni mwa wengine.