- KUlingana na mwanasiasa huyo sio wimbi au dhoruba zote zinazokuja kuangamiza maisha ya mwanadamu bali huja kusafisha njia zao
- Mwaka jana, na mapema mwaka huu Sonko alipitia changamoto na kukabiliwa na mashataka tofauti huku akibaduliwa kuwa gavana wa kaunti ya Nairobi
- Pia alimshukuru Mungu kwa yote ambayo amempigania na kumuonekania
Gavana wa zamani wa kaunti ya Nairobi Mike Sonko amewasuta wale wote waliona ataangamiaKwa changamoto alizokuwa amepitia na kukumbana nazo.
KUlingana na mwanasiasa huyo sio wimbi au dhoruba zote zinazokuja kuangamiza maisha ya mwanadamu bali huja kusafisha njia zao.
Mwaka jana, na mapema mwaka huu Sonko alipitia changamoto na kukabiliwa na mashataka tofauti huku akibaduliwa kuwa gavana wa kaunti ya Nairobi.
Pia alimshukuru Mungu kwa yote ambayo amempigania na kumuonekania.
Watu wangu Asubuhi Njema,kwa maana Tunamtumikia Mungu mwaminifu anayesikiliza na kujibu maombi hatutachoka kumuomba
Mpendwa Bwana, Siwezi kukushukuru vya kutosha kwa kuniweka mimi na wafuasi wangu wote ninaowapenda kwenye ukurasa huu salama katika nyakati hizi ngumu
Ninaomba kwamba Uendelee kutubariki na kutulinda daima. Tunajua vizuri sio dhoruba zote zinazokuja kutuangamiza, wengine huja kusafisha njia yetu siku hizi watu wengine wanatuudhi kwa sababu hatuteseka kama vile walivyotutarajia. Bwana Naomba uendelee kuwakatisha tamaa. Tuko mikononi mwako.