Nimechoka kufichwa kama ARVs-Akothee asema baada ya Kabi Wajesus kupakia picha na mkewe

Muhtasari
  • Msanii Akothee awafurahisha mashabiki kwa ujumbe huu
  • Hii ni baada ya kupakia picha ya mwanandoa Kabi Wajesus,wakionyeshana mahabara ya mapenzi
Akothee
Akothee
Image: Hisani: Instagram

Mwanabiashara,msanii Esther Akoth maarufu Akothee, amezua mjadala mkali mitandaoni baada ya kusema kwamba amechoka kufichwa na mpenzi wake kama dawa za waathiriwa wa virusi vya ukimwi.

Hii ni baada ya kupakia picha ya mwanandoa Kabi Wajesus,wakionyeshana mahabara ya mapenzi.

Akothee baada ya kupakia picha hiyo alikuwa na haya ya kusema;

"Mimi kenye imewahi nibeba in public tu ni ndege , hizi zingine tunakula KWA macho πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”Sambary njoo unibebe pia Nimechoka kufichwa kama ARVs πŸ’ƒπŸ€¦πŸ€¦πŸ€¦πŸ€¦

Naimba tu mistri ya wimbo wangu mpya Hii couple wananiharakishia maisha sana, watolowe Instagram mpaka nipate bwana πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ€¦πŸ’ƒπŸ€¦πŸ€¦ Ala," Aliandika Akothee.

Hizi hapa baadhi ya jumbe za mashabiki;

kabiwajesus: πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ madam Boss wanauliza pin location wakukujie

yycomedian: Taji ashajua kupiga pichaπŸ‘πŸ‘

mishi_west: Nabebwa na usingizi mimiπŸ˜’πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

shashashally: Husiharakishwe

terrymugambi: πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚usijali boo..your time is coming β€οΈπŸ˜‚