Muigizaji Nick Mutuma amwandikia mama wa mtoto wake ujumbe wa kipekee
Muigizaji Bridget Shighadi, anasherehekea siku yake ya kuzaliwa siku ya leo, kwa kweli kila mmoja anamfahamu baada ya kuigiza kwenye kipindi Maria.
Ni miongoni mwa watu mashuhuri ambao wanapenda kuzungumza na mashabii wao.
Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram alipakia picha akiwa mrembo kupindukia , na kujitakia heri njema ya kuzaliwa.
Kwa upande mwingine baba wa mtoto wake Nick Mutuma alimtakia siku njema ya kuzaliwa na kumwandikia ujumbe huu.
"Wacha siku hii iwe kama jua kama tabasamu yako. Furaha ya kuzaliwa @bridgetshighadi na ninakukaribisha kwenye sakafu ya tatu π β€οΈπΉπ Nisaidie Mama Dua siku ya kuzaliwa ya furaha π," Aliandika Mutuma.
Hii hapa jumbe za mashabiki;
djmokenya: Happy birthday mama Dua
shaffieweru: More Lifeβ¦More light en More Blessings to MamaDua @bridgetshighadi
weezdom254: Happy Birthday Mama Duaπ
Yasmeen_saiedi: Happy birthday beautiful ππ
jackyvike: Happy Darry Tharry Mama! π
wickey_black: You are blessed my guyππ
Wawili hao wamebarikiwa na mtoto mmoja.