Wanamitandao wazua mdahalo baada ya msanii Rayvanny kupakia picha yake Paula Kajala

Muhtasari
  • Wanamitandao wazua mdahalo baada ya msanii Rayvanny kupakia picha yake Paula Kajala
rayvanny
rayvanny

Uvumi umekuwa ukiendelea kwa muda sasa kuwa msanii Rayvanny alitema familia yake kwa ajili ya kipusa Paula Kajala ambaye ni mwanawe muigizaji wa Tanzania Fridah Kajala.

Msanii huyo hakujitokeza na kukubali wala  kukana uvumi huo.

Kwenye mitandao ya kijamii ya instagram wanamitandao wamezua dhahalo baada ya msanii huyo kupakia picha ya Paula kwa mara ya kwanza tangu uvumi huo kuenea sana.

Baada ya kupakia picha ya Paula kwenye ukurasa wake wa instagram hakuandika chochote, bali mashabiki wake waliotoa hisia tofauti.

Hisia za mashabiki;

prettychrissog: Kufichaa mapenz ni sawaa na kujamba ukiwa kweny majiii, lazmaa juu tutaonaaaπŸ‘πŸ‘πŸ‘

uality__giessel__jewelry: πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚@therealpaulahkajala dada funga zikaze unapostiw bila caption bado sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

chrissrobee: Amkeni amkeni wale askari waliomtesa yesu wamerudi ulimwenguni

mwajuma3132: Ata caption kaka unatupia tu πŸ₯±πŸ₯Ί

helleneliasofficial: Happy birthday wifi sisi kama wanyakyusa tunasema TUMEKUPOKEA karibu Tukuyu πŸ‘

gwickietanza: Uyu mwaisa naye kutudhalilisha jamani 😒😒😒😒😒 kha ....no caption Wala nn acha upendeleo Kama wifi aliyepita tunaomba caption mambo ya kibubu bubu no

jojoalimamukeshimana: Wengine wanaposti magari ww unaposti mademuπŸ˜‚

Je kulingana na maono yako wawili hao wako kwenye uhusiano wa kimapenzi au msanii huyo ni kiki anatafuta?