Muhtasari
- Msanii Esther Akoth maarufu Akothee au 'President of Single Mothers' kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram amemuuliza kifungua mimba wake atampa wajukuu lini
- Hii ni baada ya Vesha kuendelea na masomo yake, mapema mwaka huu Vesha alihitimu masomo yake huku akieka sherehe ya kufuzu kwake
- Kitu cha maana msanii huyo amewapa wanawe ni elimu, na ushauri maishani mwao