Orodha ya watu mashuhuri waliohudhuria sherehe ya gavana Alfred Mutua

Muhtasari
  • Orodha ya watu mashuhuri waliohudhuria sherehe ya gavana Alfred Mutua

Gavana wa kaunti ya Machakos Alfred MUtua aliadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa njia ya kipekee.

Mutua aliweka sherehe katika hoteli ya Ole Sereni ili kusherehekea siku yake ya kuzaliwa, wakiwa na staa wa bongo kutoka Tanzania Rayvanny.

Ni sherehe ambayo ilihudhuriwa na familia,mashabiki,watu mashuhuri,wanasiasa na hata wasanii wa humu nchini.

Hii hapa orodha ya watu mashuhuri waliohudhuria hafla hiyo;

Mwanahabari Salim Swaleh

Mwanahabari Trevor Ombija

Mwanablogu Abraham Mutai

Kinara wa ODM Raila Odinga

Mchekeshaji Eric Omondi

 Daniel Ndambuki almaarufu Churchill

Mtangazaji Mike Mondo

 Lilian Ng'ang'a miongini mwa wengine.

Hizi hapa baadhi ya picha za hafla hiyo;