Diamond na Wizkid wateuliwa kutoka Afrika kuwania tuzo ya MTV 2021

Muhtasari
  • Diamond na Wizkid wateuliwa kutoka Afrika kuwania tuzo ya MTV 2021
Diamond

Wasanii watano wa Afrika wametuliwa kuwania Tuzo ya MTV Ulaya 2021 katika kitengo cha msanii bora wa Afrika

Wasinii hao ni pamoja na Msanii wa Tanzania Diamond Platnumz,Wizkid na Tems wa Nigeria, Focalistic wa Afrika Kusini na Amaarae wa Ghana.

Diamond Platnumz amenukuliwa tovuti ya Musicinafrica akisema: “Nafurahi sana na kujivunia kuteuliwa katika tuzo za MTV EMA 2021, ina maana kubwa kwangu, kizazi changu, taifa la Waswahili na Afrika nzima.”

Sherehe za tuzo zitatangazwa mnamo 14 Novemba.

Ifuatayo ni orodha ya wasanii wa kimataifa walioteiliwa kuwania vitengo tofauti katika tuzo hizo.

Msanii Bora

  • Doja Cat
  • Ed Sheeran
  • Justin Bieber
  • Lady Gaga
  • Lil Nas X
  • The Weeknd

Pop Bora

  • BTS
  • Doja Cat
  • Dua Lipa
  • Ed Sheeran
  • Justin Bieber
  • Olivia Rodrigo

Wimbo Bora

  • ‘Kiss Me More’ – Doja Cat ft. SZA
  • ‘Bad Habits’ – Ed Sheeran
  • ‘Peaches’ – Justin Bieber ft. Daniel Caesar, Giveon
  • ‘MONTERO (Call Me By Your Name)’ – Lil Nas X
  • ‘Driver’s License’ – Olivia Rodrigo
  • ‘STAY’ – The Kid LAROI, Justin Bieber

Video Bora

  • ‘Kiss Me More’ – Doja Cat ft. SZA
  • ‘Bad Habits’ – Ed Sheeran
  • ‘Peaches’ – Justin Bieber ft. Daniel Caesar, Giveon
  • ‘MONTERO (Call Me By Your Name)’ – Lil Nas X
  • ‘Wild Side’ – Normani ft. Cardi B
  • ‘Willow’ – Taylor Swift