'Utachapwa na Khaligraphs,'Mshabiki wamuonya Bahati baada ya kibao chake kipya

Muhtasari
  • Mashabiki wamuonya Bahati dhidi ya kumkejeli Khaligraph
Bahati
Bahati
Image: Hisani

Msanii Bahati amekuwa akivuma kwa muda sasa baada ya kupakia video akivuta sigara kwenye ukurasa wake wa instagram.

Siku ya Jumanne msanii huyo alitoa kibao kipya ambacho kinafahamika kama 'Fikra za bahati'.

Ni kibao ambacho kiko miongoni mwa vibao kaika albau atakayo toa msanii huyo mwezi huu, pia katika kibao hicho amewafokea wasanii wenzake kama Khaligraph JOnes,ringtone,Daddy Owen Octopizzo miongoni mwa wengine.

Baada ya Jones kuona kibao hicho alimjibu Bahati na kumwambia awache Bhangi kwani ana kiherehere nyingi.

"Afadhali America Watu si Wakonda Kama Akina @bienaimesol , alafu Naskia @bahatikenya ameanza Bangi na Sigara ameanza Kurap matusi, punguza Iyo Bangi baba wacha Kiherehere. #RESPECTTHEOGS" Aliandika Jones.

Pia mashabiki walimuonya Bahati dhidi ya kutomheshimu Jones kwani akicheza atamchapa.

Hizi hapa baadhi ya hisia za mashabiki;

_young_.kartel: Bahati umeanza bangi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎutachapwa na omollo usahau diana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

violajoan32: ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ umeanza kua sijui nini

official_kathode: Ommolo ni manyama tuu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚mwaambie kuuunga tliachia watu wa wrestling hii muziki aitaki nguvuu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

mary_rey_wangari: Moshi kidogo unajiskia gangster

jfamkenya: Sawa Baba wa kambo!!! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ wueeh! Hapo kwa kanga ๐Ÿ‘— nayo umevisha the right person! ๐Ÿ‘๐Ÿ‘

paulngarega: The audacity of this child ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚