Niacheni tu mi nienjoy,huko zamani nimeteseka sana-Asema mkewe Jimal Roho Safi

Muhtasari
  • Kulingana na Amira anataka kujifurahisha kwani awali ameteseka sana
Image: Studio

Amira ni mmoja wapo wa watu mashuhuri ambao, huwapa mashabiki wao ushauri na motisha ya kuendelea na maisha yao.

Amira alivuma sana mapema mwaka huu baada ya kupigana na aliyekuwa mke wa pili wa Jimal, Amber Ray.

Licha ya drama hiyo yote JImal alimrudia mkewe, na hata kumuomba msamaha kwa yale alikuwa amemtendea.

Amira ambaye yuko nchini Tanzania, amepakia ujumbe kwenye ukuras wake wa instagram na kuandika ujumbe uliozua mjadala mitandaoni.

Kulingana na Amira anataka kujifurahisha kwani awali ameteseka sana.

"๐—ก๐—ถ๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐—ป๐—ถ ๐˜๐˜‚ ๐—บ๐—ถ ๐—ป๐—ถ๐—ฒ๐—ป๐—ท๐—ผ๐˜†,๐—ต๐˜‚๐—ธ๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ป๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐˜๐—ฒ๐˜€๐—ฒ๐—ธ๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐—ป๐—ถ ๐˜๐˜‚ ๐—ป๐—ถ๐—น๐—ฒ ๐—ฏ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐–ข‡," Aliandika Amira.

Hizi hapa baadhi ya hisia za mashabiki;

safi_roba12: Badoo haujatuambia asanti kwa kupiga watu vita๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜

lyne_de_la_vee: Kula mama ,nyofoa bila haya๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

amina_sirayon: Enjoy kabisa mama... Kamati tulingoja u address the nation , tulipigana vita sanaa on urbehalf๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

njoroge6055: Piga sherehe mama kabisa

precous_gyal: You deserve itโค๏ธ

faithmuange: Usijaribu ku postpone enjoyment mama. Enjoy!