Mwanamuziki kutoka nchi ya Nigeri, Ebunoluwa Oguru almaarufu Burna Boy,amejipatia zawadi la Gari la kifahari aina ya Lamborgin
Burna Boy, ambaye ni mshindi wa tuzo za Grammy mwaka jana, amenunua gari hilo ambalo lilitengenezwa Urusi mwaka wa 2022
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Burna Boy alionyesha picha ya gari hilo la kisasa na ambapo mashabiki wake walipongeza
Msanii huyo wa kibao cha 'On The Low' alituma habari kwa Lewis Hamilton akimjuza kwamba ako njiani gari jipya.
Aliendelea kusema anawatakia familia yake heri ya mwaka mapya na kuwaonyesha gari hilo jipya la kisiasa huku akiliendesha kwa mwendo wa upesi.
"Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya, Damini. Mungu anakupenda, familia yako inakupenda na mimi nakupenda. Huna haja ya kitu kingine chochote. Toleo la Novitec la 2022. Mwanachama mpya zaidi wa familia ya Lamborghini." Burna Boy alisema