Chibu Dangote apiga 30, ampa Tanasha zawadi ya mtoto

bsle1js09lspa85bbc7250b36e7
bsle1js09lspa85bbc7250b36e7
Nyota wa Tanzania Diamond Platnumz hapa jana amepata baraka tele baada mpenzi wake Tanasha Donna kujifungua mtoto wa kiume.

Tukio la Tanasha kuzaa linashahibiana na siku ya kuzaliwa ya staa huyu.

Soma hadithi nyingine;

Diamond Platnumz alikuwa wa kwanza kuvuja taarifa hizi katika mitandao ya kijamii.

https://www.instagram.com/p/B3H4OrqAADo/

Mastaa wakubwa Tanzania wakiwemo Rayvanny, Mbosso na Lavalava miongoni mwa wengine walitoa maneno yao ya moyoni na kumpongeza Chibu Dangote.

Mtoto huyu ambaye ni wa 4 wa Naseeb bado hajapewa jina.

Ikumbukwe kuwa Mondi ana watoto nje ya uhusiano na Tanasha.

Soma hadithi nyingine;

Mwanzo alipata watoto wawili na Zari The BossLady mwanamitindo kutoka nchi ya Uganda.

Baadaye akapata mtoto na Hamisa Mobetto.

Diamond alichapisha ujumbe wa furaha katika mtandao wa Insta.

https://www.instagram.com/p/B3HsveJJFa3/