Soma hapa:
Mastaa wengi nchini wameonyesha kuipa nguvu nia ya kutoka kwenye kituo hicho huku Eric Omondi, Kartelo,Stivo Simple Boy wakionekana kuipa nguvu asilimia 100%. Kwa sasa Chipukeezy yupo nchini Tanzania na ameahidi kuwa atakaporudi ataanza kurekodi kipindi hiki na kuruka katika akaunti ya Chipukeezy TV kwenye YouTube.
https://www.instagram.com/p/B1qtIXVBnIV/
Chipukeezy anasema kuwa ana jukumu kubwa zaidi kuhakikisha amekuza talanta wasanii wachanga na kuwa hawezi kabisa kushawishiwa na mtu kuacha . Staa huyu sasa anasema kuwa kipindi chake kitaruka kupitia mtandao wake wa YouTube.
Soma hapa:
Tazama hapa jumbe za mastaa nchini:
"When the networks realize they can’t hold us hostage anymore 🤣🤣🤣.. we thank God for the digital space, "Kate_actress
"The show has helped so many people including me . Thanks for the platform sana . We hope for the best in future 💯 . Bro we are destined for greatness let’s push on even harder 💯💪💪 konki," Mulamwah
"Mblooooh keep on keeping on... Wapeleke na Rieng kule utaenda... 💯💯💯💯," DjjoeMfalme