Covid-19: Watu 10 waaga dunia huku 96 wakipatikana na corona

Hii leo watu,10 wameaga dunia na kufikisha jumla iai ya 634 ya watu walioaga kutokana na virusi hivyo, wakati huohuo watu 96 wamepatikana na virusi vya corona na kufikisha jumla idadi ya 36,301 kati ya sampuli 3270 zilizopimwa kwa saa 24 zilizopita.

Mgonjwa wa umri wa chini ana mwaka mmoja huku mwenye umri wa juu ana miaka 81, 70 ni wanaume huku 26 wakiwa wanawake.

Vile vile watu 121 wamepona na kufikisha jumla idadi ya 23,364 ya watu waliopona kutokana na virusi hivyo.