Mamake Gavana wa Kisumu Anyang’ Nyongo , Dorcas Owino ameaga dunia. Mama Dorcas amefariki katika hospitali ya Aga khan ,Nairobi alikokuwa amelazwa siku chache zilizopita .viongozi mbali mbali akiwemo kinara wa ODM RAILA Odinga wametuma ujumbe wa kuifariji famiia ya Nyong’o .