https://www.instagram.com/p/B1ik6rlHzWh/
Soma hii hapa:
Kwa mujibu wa uongozi wa lebo ya Wasafi, mkali wa Never give Up alidondosha barua akitaka kubanduka rasmi. Balaa nzito inaonekana kutokea baada ya taarifa kuwa huenda staa huyo akawa amesaini mkataba wa miaka 15.Hii ina maana kuwa kwa nafsi yake hayupo Wasafi ila anabanwa na mkataba aliousaini. Kulingana na Babu Tale, mkataba wao na msanii huyu unadokeza kuwa chochote Harmonize atakachofanya kinachohusisha burudani au muziki ni biashara yao.
Soma hapa hadithi nyingine:
"Sioni ubaya wa kuweka familia ndani ya familia.mkataba wetu sisi unamface Harmonize. Ukimzungumia Harmonize ile ni biashara yetu kulingana na mkataba wetu. Akiweka chochote kinachohusiana na muziki nacho kinaingia WCB. Anavyotanuka huko kwingine bado kuna mrija unaingia WCB." Babu Tale
Soma hapa: