Aliyekuwa mtangazaji wa Citizen TV Jacque Maribe amekuwa akiishi maisha yake bila vikwazo tangia alipoondoka kutoka kituo hicho . Maribe ambaye sasa hufanya kazi za hapa na pale kuandaa ana rafiki mpya ,ripota wa runinga hiyo Chemutai Goin.
https://www.instagram.com/p/B7-CjnGnmpP/
Wawili hao wamekuwa wakijivinjari pamoja katika hafla mbali mbali na ni wazi kwamba Jemutai ameziba pngo la rafiki wote waliokuwa katika maisha ya Maribe hapo awali . Maribe katika posti moja ameandika ;
YOU KNOW SHE’S YOUR CLOSEST FRIEND WHEN YOU COLOR COORDINATE IMPROMPTU TO JUST GO EAT AND LISTEN TO SOME MUSIC. @CHEMUTAIGOIN RED AND BLACK NIGHT THAT WAS, AND AS ALWAYS, TREASURES,’
Katika posti nyingine aliandika ,
OUT HERE SHARING SMILES WITH THIS HOTTIE @CHEMUTAIGOIN YOU ARE A FIERCELY LOYAL FRIEND, AND WE ARE ALWAYS SMILING ALSO THE FLASH ON THIS PICTURE MADE US LOOK LIGHT-SKINNED .
Hizi hapa baadhi ya picha za marafiki hao wawili