Kwa muda mrefu sasa imekuwa dhana kwamba wasichana walio na wapenzi wazee au maposnosr huwa na maisha ya rah asana ila ufichuzi wa mwanamke mmoja mtandaoni umetoa taswira tofauti sana .
Mwanamke huyu kupitia msururu wa maandishi kwa kundi moja la akina dada amesimulia masaibu yake na jinsi alivyoteseka sana kupata raha za kitandani na mwanamme mwenye umri wa miaka 57 . Jamaa alikuwa na nia ya kumpa uroda lakini mwili ulikuwa umegoma . Mwanamke huyo pia ameelezea mengine mengi ambayo wasichana huvumilia ili kupata pesa kutoka kwa wanaume wanaowazidi umri . Soma yote hapa