Idadi hii ndio ya juu zaidi tangu kuanza kwa janga la corona

12 wafariki huku 1,068 wakipata virusi vya corona

Waliopona leo ni watu 290

Muhtasari

 

  • 12 waaga dunia kwa ajili ya corona 
  • watu 1,068 waambukizwa corona 

 

Mutahi Kagwe
Waziri wa Afya Mutahi Kagwe Mutahi Kagwe

 Watu 1,068 wamepatikana na virusi vya corona  baada ya sampuli 7,556 kupimwa katika saa24 zilziopita  na kufikisha jumla ya visa hivyo nchini hadfi kufikia sasa kuwa 47,212.

Kutoka visa hivyo 1,044 ni wakenya ilhali 24 ni aia wa kigeni . wanaume ni 666 ilhali wanawake ni 402 .Mgonjwa wa umri wa chini ni mtoto wa miezi sita ilhali wa umri  wa juu ana miaka 96 .

Leo watu 290 wamepona  na kufikisha 33,050 idadi ya waliopona corona

Watu 12 wameaga dunia leo na kufikisha 870 jumla ya walioangamizwa na ugonjwa huo nchini .