logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Kufichwa na mpenzi wako- je inafaa ama ni dalili ya kuhadaiwa?+Podi ya Yusuf Juma

Wengi wanaowaficha wapenzi wao wapo katika uhusiano zaidi ya mmoja

image
na Radio Jambo

Habari06 November 2020 - 09:30

Muhtasari


 

  •  Wengi wanaowaficha wapenzi wao wapo katika uhusiano zaidi ya mmoja
  • Ni hatari sana iwapo mwenzako hajakutambulisha hata kwa rafiki au jamaa zake 
  •  Wanawake wakati mwingi ndio wanaojipata kama waathiriwa katika hali kama hizi 

 

 

Wakati mwingine unafaa kujiuliza mbona mpenzi wako hataki ijulikane kwamba mko pamoja.kuna sababu nyingi nzuri za watu kutaka kuyaficha mahusiano yao lakini unafaa kuwa mwangalifu kwa sababu huenda pia kuna hila ktika uamuzi kama huo.

 

  Katika podi hii tunajadili ujanja wa baadhi ya watu kuweka siri mahusiano yao kumbe  wanatumia usiri huo kujihusisha katika mahusiano mengine ya pembeni

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved