- William Ruto,Raila Odinga wawaongoza wakenya kumuomboleza Kalembe Ndile
Kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga amewaongoza Wakenya kumuomboleza aliyekuwa Mbunge wa Kibwezi Kalembe Ndile.
Ndile aliaga dunia akipokea matibabu katika Hospitali ya Nairobi akiwa na umri wa miaka 57 baada ya kuhangaika na ugonjwa wa ini.
"Kwa mshtuko mkubwa, nimejifunza juu ya kufariki kwa mbunge wa zamani .. Watu wa Kibwezi na nchi yetu wamepoteza kiongozi mwenye haiba,
.. na ustadi wa kipekee wa uhamasishaji wa watu wa chini ambao pia aliwajali sana wale walio chini. pumzika kwa Amani ya Milele." " Raila alisema.
My deepest condolences to the Family and Friends of former Kibwezi M.P Hon. Kalembe Ndile.
— Hon. Jaguar (@RealJaguarKenya) May 30, 2021
He ran a good race.
May his soul Rest In Eternal Peace. pic.twitter.com/5jOEAE0caB
Mheshimiwa Kalembe Ndile devoted his life to serve the people of Kibwezi. He was a master of equal justice who set an incredible example of service to all. He will best be remembered for his modesty, insights, independent voice and fighting for the rights of the underprivileged. pic.twitter.com/CjqEro7DyW
— William Samoei Ruto, PhD (@WilliamsRuto) May 30, 2021
Gavana wa Machakos Alfred Mutua amesema amehuzunishwa sana kujua juu ya kufariki kwa mmoja wa wasemaji wakuu wa kisiasa nchini Kenya "Mtoto wa Squatter".
"Ndile alikuwa sauti jasiri ya watu. Kiongozi aliyejitengeneza, alikuwa kipenzi kwa hadhira na kwetu sote. Hasara kubwa kwa mkoa wetu. Kenya imepoteza shujaa," alisema.
Kioko, mtoto wa Kalembe Ndile, alithibitisha kifo cha baba yake.PIa gavana wa kaunti ya Kisumu Wycliffe Oparanya alimuomboleza Kalembe ambae alisema alikuwa mwanasiasa aliyekuwa na bidii katika kazi yake.
Hon Kalembe Ndile was a charismatic and hardworking leader.
— Dr Wycliffe A. Oparanya (@GovWOparanya) May 30, 2021
He was a self-made and courageous leader who advocated and championed for the interests of common mwananchi.
May his soul rest in eternal peace. pic.twitter.com/a2WmJLCKHV