logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Tutawasaidia waliojeruhiwa na kuuawa wakati wa maandamano- Ruto

"Kwa wengine wengi waliopoteza maisha, natuma risala za rambirambi kwa familia," alisema.

image

Habari05 July 2024 - 11:00

Muhtasari


  • Hatua hiyo inajiri siku moja baada ya kuandaa mkutano wa dharura wa Baraza la Mawaziri kuhusu maandamano ya kupinga Mswada wa Fedha.

Rais Wiliam Ruto amesema serikali itawaunga mkono waliopoteza maisha na kujeruhiwa wakati wa maandamano ya kupinga mswada wa fedha 2024.

Akihutubia taifa siku ya Ijumaa, Ruto alitoa rambirambi zake kwa wote waliopoteza maisha.

"Kwa wengine wengi waliopoteza maisha, natuma risala za rambirambi kwa familia," alisema.

Hatua hiyo inajiri siku moja baada ya kuandaa mkutano wa dharura wa Baraza la Mawaziri kuhusu maandamano ya kupinga Mswada wa Fedha.

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved