Mchezaji nyota wa zamani wa kandanda wa Timu ya Argentina Diego Maradona ameaga dunia . Maradona alikuwa na umri wa miaka 60 .
Kiungo huyo mshambuliaji wa Argentina awali mwezi huu alifanyiwa upasuaji wa ubongo ambao madaktari walimwambia ulifaulu.
Mchezaji nyota wa zamani wa kandanda wa Timu ya Argentina Diego Maradona ameaga dunia . Maradona alikuwa na umri wa miaka 60 .
Kiungo huyo mshambuliaji wa Argentina awali mwezi huu alifanyiwa upasuaji wa ubongo ambao madaktari walimwambia ulifaulu.