logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Aliyekuwa waziri wa fedha Ukur Yatani akamatwa

Uvamizi huo ulifanyika katika nyumba zao za Nairobi na Marsabit.

image
na Davis Ojiambo

Habari24 April 2024 - 06:47

Muhtasari


  • • Uvamizi huo ulifanyika katika nyumba zao za Nairobi na Marsabit.
  • • Yattani aliwahi kuwa gavana wa Marsabit kabla ya kuteuliwa kuwa Waziri na Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta.
UKUR YATANI

Aliyekuwa waziri wa fedha Ukur Yattani amekamatwa

Kukamatwa  kwake kunajiri baada ya maafisa wa upelelezi kutoka Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) kufanya msako mkali katika nyumba yake na ya Gavana wa Marsabit Mohamud Ali.

Uvamizi huo ulifanyika katika nyumba zao za Nairobi na Marsabit.

Yattani aliwahi kuwa gavana wa Marsabit kabla ya kuteuliwa kuwa Waziri na Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta.

Nyumba za maafisa wakuu kutoka kaunti hiyo pia zilivamiwa.

EACC iliithibitishia Star kwamba Gavana huyo wa zamani yuko chini ya ulinzi wao na atapelekwa katika Kituo cha Uadilifu.

Maelezo mengine kufuata...


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved