Muhtasari
•Jumanne, Eric Omondi alisababisha msongamano wa magari katika barabara ya Lang’ata jijini Nairobi baada ya kufunga njia hiyo yenye shughuli nyingi ili kusambaza unga kwa wakazi.
•Mwezi uliopita, mchekeshaji huyo aliongoza kundi la waandamanaji kulalia magodoro kwenye barabara ya Jomo Kenyatta jijini Kisumu.