Aliyekuwa mtangazaji wa KTN na K24 Mwanaisha Chidzuga mnamo Jumatano aliteuliwa kuwa naibu msemaji wa serikali.
Chidzuga amekuwa mwanahabari wa hivi punde zaidi kuteuliwa na rais William Ruto katika serikali yake, kuna wengine kadhaa ambao waliteuliwa mbele yake.
Katika grafiki ya leo, tunaangazia wanahabari wengine ambao wamepewa nyadhifa mbalimbali katika serikali ya Ruto.