logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Kareh B: Mfahamu kwa undani mwanamuziki ambaye mwanawe alifariki ajali ya Easy Coach

Joseph Manduli alifariki baada ya basi lililokuwa limebeba wanafunzi wa shule ya upili ya Chavakali kuanguka.

image
na Radio Jambo

Habari03 April 2024 - 12:30

Muhtasari


•Mtoto wa Kareh B mwenye umri wa miaka 17, Joseph Maduli alifariki baada ya basi lililokuwa limebeba wanafunzi wa shule ya upili ya Chavakali kuanguka katika eneo la Mamboleo, Kisumu.

Mwanawe Kareh B, Joseph Maduli alifariki katika ajali iliyotokea Aprili 1, 2024

• Jina halisi ni Mary Wangari Gioche.

• Alizaliwa na kukulia Kaunti ya Murang'a.

• Mzaliwa wa mwisho katika familia ya ndugu wanne.

• Anajulikana zaidi kwa kolabo zake na Jose Gatutura.

• Alipata umaarufu 2018 kutokana na wimbo ‘Tuirio twega’.

• Alimpoteza dadake, aliyekuwa mwanahabari wa NTV Winnie Mukami, 2021.

• Nyimbo zake maarufu; 'Tuirio Twega, Haha ni Gute, na 'Mwari Wa Muthamaki'

Chanzo: Mahojiano ya awali na Word Is


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved