•Video moja inayoonyesha kikundi cha vijana nchini Ghana kikirejesha gunia za mchele walizokuwa wanapatiwa na mwanasiasa mmoja imeibua mdahalo mkubwa miongoni mwa Wakenya mitandaoni.
•Vijana hao walisikikia walisikika wakisema kuwa wanataka kazi sio mchele.
Kupatiana pesa, chakula, nguo au bidhaa zingine ni njia moja inayotumiwa sana na wanasiasa kuwahadaa wapiga kura haswa barani Afrika.
Huku kampeni za uchaguzi mkuu wa 2022 zikitarajiwa kuanza karibuni nchini Kenya ni dhahiri kuwa wanasiasa wengi wanaandaa mifuko yao ili kushawishi wananchi kuwapigia kura.
Hilo ni jambo ambalo vijana nchini Ghana wameonekana kupigana nalo huku wakidai kuwa wanataka kazi sio msaada.
Video moja inayoonyesha kikundi cha vijana nchini Ghana kikirejesha gunia za mchele walizokuwa wanapatiwa na mwanasiasa mmoja imeibua mdahalo mkubwa miongoni mwa Wakenya mitandaoni.
Kwenye video hiyo, vijana wenye ghadhabu walionekana wakitupa gunia hizo kuzirejesha ndani ya gari aina ya 'pick up' lililokuwa limezibeba.
Vijana hao walisikikia walisikika wakisema kuwa wanataka kazi sio mchele.
"Tunataka kazi sio mchele... kazi sio mchele!" Vijana hao walisema.
JOBS NOT RICE 🍚🤷🏾♂️🤷🏾♂️
— Reggie n Bollie (@ReggieNBollie) July 21, 2021
I am so happy to see this happen in Ghana. I find it very insulting and condescending for any politician in Africa or Ghana to be specific to try and bride the youth and elderly with food and money in order to solicit their votes.
Whoever led these youth pic.twitter.com/3JIZMQvQxQ
Je, Kenya tumefikia hapo pa kukataa misaada na kudai yale yanayotufaidi?
Hizi hapa hisia za baadhi ya Wakenya;-
These angry youths from Ghana turned away a politician giving them rice. They are demanding for jobs. Now imagine boys in Kibra turning Sonko's rice or some young people in Eldoret turning Deputy President William Ruto for doing this, or even youths in Luhya land! BRAVERY. pic.twitter.com/dz9fBWim9D
— Abuga Makori EGH, MBE (@abuga_makori) July 22, 2021
A politician in Ghana brought “free” bags of rice! Youths gave him back his rice and said that they wanted jobs not handouts! In Kenya, Deejays & celebs are the ones endorsing Ruto. No wonder they used to fail exams and end up last in school bcs the space btn their ears is empty. pic.twitter.com/6U2xaoWaF3
— Cyprian, Is Nyakundi (@CisNyakundi) July 21, 2021