Katika podcast hii tunazungumza kuhusu yote tuliofanya kwa njia isiofaa kuanzia kuvuruga uchumi ,janga la corona na mgomo wa wahudumu wa afya katika kaunti mbali mbali .Pia ilisikitisha kushuhudia wanafunzi wakirejea shuleni na kuendelea kusoma chini ya maizngira magumu .